- Tangatanga na Kieleweke walikwepa ibada ya maombi ya vijana wawili waliouawa Kenol
- Wawili hao walipoteza maisha yao baada ya pande hizo mbili za wanasiasa kudaiwa kuwachochea wafuasi wao kuzua rabsha
- Vijana walitakiwa wajifunze na hilo kuwa wanatumika na wanasiasa wa mirengo mbali mbali
Vijana wawili waliopoteza maisha maisha yao katika eneo la Kenol wakati ghasia zilizuka kutokana na ziara ya Naibu Rais William Ruto walizikwa Ijumaa, Oktoba 16. Read More...